Nafasi Ya Matangazo

February 05, 2018





Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Muheza,Like Gugu kulia akiwa na Katibu Tawala wa wilaya hiyo,Desderia Haule kushoto wakishirikiana na wananchi na wanachama wa chama hicho kushiriki msaragambo wa ujenzi wa hospitali ya wilaya hiyo 
Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Muheza,Like Gugu kulia akiwa na Katibu Tawala wa wilaya hiyo,Desderia Haule kushoto wakiwa na mashepe wakishirikiana na wananchi na wanachama wa chama hicho kubeba kukoto kwa ajili ya ujenzi ujenzi wa hospitali ya wilaya hiyo 
Sehemu ya wananchi wakishriki kwenye zoezi la kubeba maji kwa ajili ya kushiriki Msaragambo wa Ujeniz wa Hospitali ya wilaya ya Muheza
Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Muheza,Like Gugu kushoto akishusha ndoo iliyokuwa na zege kwa ajili ya kusambazwa kwenye msingi wa ujenzi wa hospitali ya wilaya ambapo Mwenyekiti huyo aliwaongoza wanachama wa chama hicho kushiriki kwenye msaragambo huo
Sehemu ya wanachama wa Chama cha Mapinduzi CCM wakishiriki kwenye kuchanganya zege
Sehemu ya wana CCM na wananchi wakishirikiana kubeba zege tayari kuimwaga kwenye msingi wa ujenzi wa hospitali ya wilaya ya Muheza wakati waliposhiriki Msaragambo ambao uliongozwa na Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Muheza,Like Gugu (Habari kwa Hisani ya Blog ya Kijamii ya Tanga Raha)
Posted by MROKI On Monday, February 05, 2018 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo